Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua mkutano wa Biashara ya
kilimo kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini
Dar es salaam leo Januari 28, 2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa
Mkurugenzi Mkuu wa FMD yenye makamo yake Nchini Kenya Bw. Fergus Robley wakati
alipotembelea mabanda ya maonesho ya Biashara ya kilimo kwa Nchi za Ukanda wa
Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini Dar es salaam leo Januari 28,
2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa
Msimamizi Mkuu wa SUGECO CHAIR Dkt. Anna Temu alipotembelea mabanda ya maonesho
ya Biashara ya kilimo kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya
serena jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa afisa
muendeshaji Mkuu wa kampuni ya FARMEQUIP Rattan Singh alipotembelea maonesho ya
Biashara ya kilimo kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena
jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa afisa
muendeshaji Mkuu wa kampuni ya FARMEQUIP Rattan Singh alipotembelea maonesho ya
Biashara ya kilimo kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena
jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, katikati akiwa kwenye picha ya pamoja
na baadhi ya wakuu wa makampuni ya Biashara ya nyenzo za kilimo, wakati wa mkutano wa Biashara ya kilimo kwa Nchi za
Ukanda wa Afrika Mashariki kwenye Hoteli ya serena jijini Dar es salaam leo
Januari 28, 2015. (Picha
na OMR)
No comments:
Post a Comment